Wednesday, December 4, 2013

Decoder ambazo zipo sokoni na zinafanya vizuri Tanzania

USIKOSE OFFER KABAMBE NA MOTO MOTO ZA KOMBE LA DUNIA
ni Ving'amuzi ambavyo vina uwezo wa kufungua full premium package ya dstv and more stable bila gharama ya ziada ni only 25MB kwa mwezi za simcard ya 2g unahitaji + dish 3ft yanauzwa 50,000tsh madukani na baada ya kutumia bure mwaka mzima utalipia tena $45 kwa ajili ya mwaka mwengine.


              Usikose kutembelea WEBSITE YETU MPYA                                 www.munjy1.com kwa latest updates and offer

HII BLOG HAITUMIKI TENA IPO KWA REFERENCE TUU
BREAKING NEWS:  nitakuwa nje ya Tanzania kuanzia tarehe 14 August 2014 hadi tarehe 30 August 2014 nitakaporejea, kwa wateja wanaotumia bidhaa zangu mawasiliano yote yafanyike kupitia ile application yetu ya QUAD college chat au whatsapp, na wateja wapya twasiliane kwa whatsapp, 0773044899 tu. Pia kwa wateja wote mauzo yataendelea ila malipo yote yafanyike kwa TIGO PESA kwa Tigo pesa tu 0715044899 ambapo simu hiyo nitamwachia mtu ambae yeye atakuwa na mawasiliano na mimi. Au mustahamili hadi nitakaporejea safari. Samahani kwa usumbufu utakaojitokeza.

NI MUHIMU KUZINGATIA YAFUATAYO:

00. KUANZIA TAREHE 21 MARCH COMMENT YEYOTE ILE LAZIMA NIIFANYIE MODERATION NDIO UIKUTE KATIKA BLOG HII, HII NI KWA USALAMA WETU

1. MUDA WA KAZI NA KUPIGA SIMU NI SAA 1 KAMILI ASUBUHI- SAA 3 KAMILI USIKU.
2. USIWASILIANE NA MIMI KWA WHATSAPP WALA VIBER UNLESS NIKUPE RUHUSA MIMI YA KUFANYA HIVYO.
3. NAMBA YA KUPIGA SIMU NI 0773044899 TU NA SIO ILE YA TIGO
4. TAFADHALI JUWA KUFUATA NA KUTEKELEZA MASHARTI YANGU VYENGINEVYO BAADA YA KUKUUZIA DECODER SITAKUPA MSAADA MWENGINE WOWOTE USIPOWEZA KUFUATA MASHARTI HAYO NA IKIWEZEKANA HATA DECODER SITAKUUZIA.

BREAKING NEWS: QSAT Q11G na Q15G hazitazalishwa TENA (zitaendelea kufanya kazi na kupatiwa account muda wote) kwa sasa ambazo zipo katika production ni Q23G tu pekee ambazo kibei zipo juu zaidi ya QSAT zote. Kwa bei za Q23G pamoja na bei ya jumla soma offer za chini.

SPOT LIGHT:  ZOEZI LA KURENEW ACCOUNT ZA AZSKY G6 LIMEANZA KAMA NILIVYOWAELEZA KATIKA SMS ghar6ama za account kurenew zimetokana na wachina kubadilisha system ya account zao na kwamba kuna world cup soon ili kuingiza account katika AZSKY G6 ni lazima uwe na vifuatavyo 
1. computer ambayo ipo na internet 
2. serial cable RS232 ambayo utaconnect na hiyo computer
3. account tool ambayo ipo hapa CLICK HAPA KUPATA TOOLS ZA G6



MUHIMU KUSOMA NA KUFUATA: Kwa wateja WOTE fungua link hiyo chini kuweza kuiset QSAT yako mpya download files hatua zipo katika format ya pdf zinafunguka kwa adobe ni muhimu kufuate step zote 4 kwa mpangilio CLICK HAPA KUDOWNLOAD SOFTWARE


kwa wateja wapya fungua link hii kupata list ya mafundi wa dish wa kila mkoa ambao nimewathibitisha mimi ni wazoefu na waaminifu 
CLICK HAPA KUPATA LIST YA FUNDI

NEW ARRIIVAL NI NEW MODEL Q23G AMBAYO IMEBORESHWA CHIPSET AMBAYO SASA INA UWEZO WA KUTUMIA 3G MODEM ZA HUAWEI NA ZTE, SIMCARD, LAN (ethernet) NA SIMCARD (gprs 2g), WIFI ANTENNA (optional tsh 20,000)  NA IMEBORESHWA PICHA WAHI SASA KWA BEI YA TSH 230,000 TU UJIONEE MABADILIKO KATIKA QSAT. (MZIGO UMEWASILI TAREHE 17 JUNE TAYARI UPO SOKONI hii ni new model)













QSAT Q15 STOCK IPO NA KUNA OFFER ZA KUMWAGA.
1.  OFFER MAALUM YA Q15G ambazo ni pc20 tu za mwisho ambazo zimewasili Tanzania tarehe 7 August 2014 zitauzwa kwa bei ya OFFER 187,500TSH ni offer ya muda mfupi tu.

2.  OFFER MAALUM QSAT Q15G KWA WALE WA MIKOANI , WATATUMIWA MZIGO KWA EMS (POSTA) MKOA WOWOTE ULE KWA GHARAMA YA 192,000TSH TU KWA DECODER, ILA OFFER HII NI KUANZIA PC 5 NA KUENDELEA.(ina maana pc5 utalipia TSH 960,000 TUUUU) 
tafadhali usiniombe nikupe offer hii kwa kuwa umenunua pc4, bei ya EMS kila pc1 ni 20,000tsh.
WAHI OFFER HII KABAMBE YA MUDA MFUPI.

3.  OFFER MAALUM YA Q23G KWA WATAKAONUNUA MZIGO KWA JUMLA OFFER NI TSH 193,000 KWA PC1 AMBAPO JUMLA NI LAZIMA UNUNUE PC5, PC10, PC15 AU PC20 AU PC25. HAKUNA BEI YA JUMLA KWA PC6 AU 11, IKIWA NA MAANA KILA BOX LINAKUWA NA PC5 UKINUNUA PC 6 ZILE PC5 NDIO UTALIPIA 193,000/pc NA ILE PC1 UTALIPIA 230,000tsh

4. CCCAM ACCOUNT TV1 AMBAZO ZINAFUNGUA CHANNEL ZA DSTV  ZILIOPO UELEKEO  WA  EUTELSAT 36 EAST NI TSH 70,000 MIEZI MITATU, PIA ZINAUZWA KWA JUMLA TSH 55,000/PC MINIMUM NI ACCOUNT 5

KUJUA TOFAUTI YA HIZO DECODER TAFADHALI SOMA CHINI UTAKUTA MAELEZO YA KUTOSHA PAMOJA NA BEI HALISI AMBAZO SIO ZA OFFER
FURAHIA MAISHA NA FAMILIA YAKO NA MARAFIKI ZAKO KWA KUJIPATIA KITU CHENYE UBORA NA BEI POA KUTOKA KWA MUNJY1 PEKEE


LATEST NEWS  (MZIGO UMEKWISHA HADI 28 FEBRUARY 2014): Qsat Q15G ni MPEG4 DVB s2 HD receiver kama Qsat Q11G but hii imetengezwa katika umbo dogo na ina function sawa na Q11G isipokuwa hii imeboreshwa picha yenye ubora na pia imeboreshwa GPRS antenna yake na inaubora kwa kuwa inafungua Channel nyingi upande wa DSTV kuna zaidi ya channel 200 na pia wamelengwa wale watu wenye kipato cha chini na ambao pia wanataka kufanya biashara na wale ambao wana TV nyingi katika majumba yao na hawawezi kununua Q11G kwa ajili ya bei, sasa usijali tena Q15G kutoka kwa munjy1 ndio mkombozi wako. Bei yake itakuwa ni TSH 220,000  (Bei ya OFFER KWA WATAKAOANZA KULIPIA LEO TAREHE 26 DECEMBER HADI 16 JANUARY NI TSH 193,000)ambayo pia inakuja na account ya avatarcam mwaka mzima ambayo kwa sasa ndio ipo juu kwa kuwa haina kuganda hata sekunde 1
Jionee channels zote za uelekeo wa D**V na ALJAZEERA, NILESAT na nyengine nyingi kama Eatv, star tv, citizen, ktn, kbc, ubc, swahili tv. 
 

 












                                          Pia wanaotaka kununua kwa jumla                                                                     wanaruhusiwa kuanzia 
pc25 bei ni 170,000 Kwa maelezo zaidi namba zangu zipo chini hapo namba ya kutuma malipo
0715 044899 
namba ya kuongea na kuuliza

0773 044899 





LATEST UPDATE:
 (OUT OF STOCK)(
Inaonekana Jamvi limeikubali sana Q11G sana na sana maana mzigo siku unaowasili basi siku hiyo hiyo sold out, MZIGO UMEWASILI LEO TAREHE 26 NOVEMBER 2013 sasa mzigo upo wa kutosha ila usije kubahatisha, tafadhali wahi kulipia sasa mapema kuepusha usumbufu na kuja kukosa ya kwako Bila kusahau unakosa uhondo wa LIGI YA ULAYA na comming soon ni FIFA WORLD CUP sasa kuna WOLD CUP QUALIFY) kwa wanaohitajia mnaruhusiwa kulipia kabisa kwa wale ambao munaoniamini tu, mzigo ukiwahi kufika nitawatumia SMS kama kawaida.
Sasa jamvini ni 
QSAT Q11G ni HD DVB S2 MPEG4 receiver ambayo ipo COMPLETE stable hakuna kukata kata hata sekunde 1 na pia hakuna kupungua channel hata sekunde 1, sifa za Q11G inaweza kuunscramble channel kwa kutumia modem zetu za kibongo hizi za airtel, tigo, voda na zantel, pia unaweza kufungua channels kwa kutumia wireless au simcard au LAN ni uamuzi wako, hii ndio tofauti iliyopo baina ya AZSKY G6 na QSAT Q11G. AZSKY ili kutumia modem kwanza kuna modem maalum ambazo hapa kwetu hazipatikani, pia azsky ili uweze kutumia wireless na LAN ni lazima uwe na CCCAM account ndio uweze kutumia hizo njia kuunscramble channel, Qsat Q11G inafungua channel zote za D**V ambazo unaziona hapa 
DSTV CHANNEL LIST AND FREQUENCY 
tofauti na product nyengine. Qsat Q11G inafungua upande wa (D**V zaidi ya channel 200) na (ALJAZEERA channel 10 HD), (NILE SAT na hotbird channel 500).
haina mikwaruzo hata sekunde 1 kwa mfano unaangalia live match basi hata salio likiisha au internet ikaruka inaendelea kuonyesha kwa dakika 3 kwa maana hii ipo stable zaidi.
Qsat Q11G inaweza kukuonyesha tarehe yake ya kuexpire kwa kutumia password maalum ambayo nitawapatia. Qsat Q11G tarehe yake ya mwanzo inaanzia siku ambayo utaanza kuitumia. Qsat Q11G inakuja na account ya mwaka 1 hakuna miezi 6-6 kurenew account ya Qsat Q11G kwa mwaka ni tsh40,000 na bei ya kununua QSAT Q11G ni tsh245,000, angalia picha chini kwa maelezo zaidi na subiri comments za ambao tayari wameshanunua na kuanza kutumia.
Pia 
Qsat Q11G inafungua channel za Tanzania na Kenya, na Uganda ambazo zinapatikana uelekeo wa D**V kama KBC, CITIZEN, UBC
Pia bila ya kusahau 
Qsat Q11G inafungua IPTV hizi ni Tv ambazo zinastream live huhitajii hata dish isipokuwa uwe na internet ya uhakika, mimi binafsi napata channels 128 hapo IPTV na zaidi ya 250 upande wa D**V na zote bila ya chenga, super sports zote, mnet zote, discovery zote,channel O, MTV zote, mytv na nyengine nyingi nahisi nitajaza thread nikizitaja, kumbuka pia zipo HD channels zote.

Wale munaopiga simu kuuliza nini tofauti ya Q11G na Q13G majibu ni haya hapa:-
Q11G (nauza mimi) ni za chuma body yake na pia zina GPRS antenna ambayo ina nguvu kukamata network ya simcard.Q13G ni body ya plastic na sio madhubuti inapopata moto sana, na pia Haina GPRS antenna kwa hiyo ikiwa upo eneo ambalo mtandao wa simcard ni hafifu basi ni shida unless utumie modem au Lan.Ukinunua Qsat Q11G unapata box full.
User Manual
Free 1 year (kuanzaia siku ya kwanza unayoanza kutumia)
Gprs antenna
USB Wireless dongle (20,000tsh).
Remote control
Av cable + HDMI cable





Kwa maelezo zaidi namba zangu zipo chini hapo
namba ya kutuma malipo
0715 044899
 

namba ya kuongea na kuuliza

0773 044899



BREAKING NEWS:
tahadhari kwa wote mulonunua G6 ukiwa eneo lako lina shida ya network usije ukajaribu kuchomoa antenna ya G6 ile original na kuweka nyengine kubwa zaidi au external, utakitoa muhanga GPRS module board na utaungana na muhanga 1 ambae tayari yashamkuta na nishamnunulia hicho kifaa cha kubadilisha, na pia utaungana na muhanga mimi munjy1 ambae sijamuamini kama kauwa board kwa kubadili antenna nami nikajaribu pia nimeungane nae sasa sote ni muhanga.



WOTE ZINGATIA hizi bei za kurenew account za azsky G6 ni kwa wale wateja walonunua bidhaa kwangu tu, record za serial numbers zote ninazo. Kumbuka ukinunua G6 kwangu inakuja na miezi 6 bure na ikimaliza miezi 6 ya mwanzo nakupa tena software ya miezi 6 bure na baada ya hapo kila miezi 6 ni tsh 45,000 hautapata hizi bei kwa mtu yeyote yule ila kwa munjy1


WALE AMBAO MUNATUMIA AZSKY G6 DOWNLOAD HII FILE IMEANDIKWA BACKUP kama ukiwa unataka kupata channel za kibongo na za D**V hii file ni preset extract kwa kutumia winrar isave katika flash disc, chomeka katika G6 yako, bonyeza menu ktk remote yako chagua system setting - upgrade and backup-upgrade by usb-tafuta ile file ya backup bonyeza OK na YES. Baada ya hapo utapata hizo channels nilozitaja.Pia unaweza kudownload hii file moja kwa moja na kuisava katika flash bila ya kufanya extract kupitia link hii hapa
https://drive.google.com/folderview?...0k&usp=sharing



INTRODUCTION TO G6:
AZSKY G6 ni decoder ambayo pia ni dongle DVB S2 MPEG 4 HDTV receiver ambayo hutumika kufungua channels za kulipia ambazo utazipata bure kabisa kupitia kifaa hiki cha AZSKY G6.
Ili AZSKY G6 ifanye kazi unahitaji G6, simcard yenye angalau 25mb kwa mwezi au salio na dish (fta,d**v,aljazeera sports+,abudhabi,mytv,canalsat au dish jengine linaofanana na hayo na LNB ya KU, au KU HD pia C band kwa baadhi ya dish) dish litakapoelekezwa ndipo channel utakazoziona.
Kwa mfano ukiweka dish la FTA ukaelekeza directin ya D**V utaona channel za D**V na za East africa kama TBC na ITV, EATV, STAR TV na nyenginezo kwa kuweka frequency zao na kuscan channels.

Pia G6 ina switch nyuma amabayo unaweza kuweka TWIN ikajitosheleza au ukaweka sehemu ya GPRS na ukaitumia kama dongle kuconnect na receiver nyengine ya FTA au ukaweka katika SAT na kuitumia G6 kama FTA receiver kwa dongles nyengine au bila dongle au simcard na kuangalia FTA channels.

KAMA UNAHITAJI KUONA ABUDHABI, NA ALJAZEERA SPORTS NA D**V KWA GHARAMA AMBAYO KILA MTANZANIA INAIMUDU BASI NUNUA KIFAA HIKI AU DECODER HII YA AZSKY G6 KWANGU.
Hichi kifaa nakupa GUERENTEE hakiwezi kublokiwa na azsky sasa ipo kwa miaka minne tofauti na wengine kina Xman ambao wakitoa model mpya huwa hawatowi software kwa zile za zamani, mfano kuna xman G8 ikitoka G9 basi G8 haitofanya kazi tena kama zilivyo xman dongle za zamani sahivi hazifanyi kazi tena, Hawk 777 classic na nyengine nyingi
UKINUNUA G6 NDANI YA BOX KUNA:1. azsky G6 DVB s2 HD MPEG4 RECEIVER1. user manual
1. gprs antenna
1. charger
1. hdmi cable
1. remote contoll KAMA PICHA INAVYOONYESHA HAPO



 
 
 
Hii post ilianzia Jamii forums unaweza kupitia kumbukumbu kupitia link hii na kupata ufafanuzi zaidi na majibu ya maswali mengi ambayo watu waliulizana na kujibiwa http://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/492159-dstv-aljazeera-sports-canal-sat-mytv-kwa-kutumia-azskyg2.html AMBAYO NIMEOMBA IFUTWE KWA SABABU ZA KIUSALAMA